GAMBO AMKIMBIA MAKONDA KWENYE BARAZA, MADIWANI WAMWAGA MACHOZI WATAKA MAKONDA AGOMBEE UBUNGE ARUSHA.

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 13 апр 2025
  • Madiwa wa halmashauri ya Jiji la Arusha wameshangazwa na kitendo cha Mbunge wao kuvua Joho na kulaza mbio baada ya kusikia ujio wa Mkuu wa Mkoa wa Arusha Paul Makonda kwenye kikao hicho cha baraza la madiwani.
    Aidha Mkuu wa Mkoa aliwataka madiwani hao huwa na maamuzi magumu katika kufanya maamuzi ya maendeleo na kushangazwa na Tendo la kupelekwa Mkuu wa Wilaya katika mkutano wa wananchi na kuambiwa tuhuma ambazo yeye hazijui kwa nia ya kupigana shoti.
    Kufuatia hatua hiyo Makonda amegeuka mbogo na kumkataza Dc wake kuhudhuri vikao vya Mbunge tena kama havina yija kwa wananchi na maendeleo.
    @ITVTanzaniaTz @ikulutanzania255 @CLOUDSMEDIA @azamtvtz @CrownMediaTZ @TBC_Online @kitengetv @samiaTV @manaratv__ @Wasafi_Media @NgorongoroConservationArea @tanapapoen @UTALIITV1

Комментарии • 249

  • @JumaMartin-e4v
    @JumaMartin-e4v 25 дней назад +2

    Makonda na mfananisha na hayat Eduward moringe sokoine.mungu amtie nguvu afya njema na Allah akupe ulinzi.itakapo mpendaza mungu wakat atakao uona mwenyez mungu uje uwe rais wa nchi hii.makonda ni taore wa bukinabe

  • @laiserkuyan6075
    @laiserkuyan6075 Месяц назад +7

    Makonda Ni kiongonzi tovauti Sana Na wangine mungu Akulinde Na Wana Arusha tushikane wote kumuopea makonda Na tuupe Kura Awe mbunge wa Arusha Atutoe Kwa shida ya miaka Naenda Rudi pia Abaki Tu kuwa mkuu wa Arusha tu

  • @abubakarshariff858
    @abubakarshariff858 6 дней назад

    Big up bro Makonda daaah

  • @mungholomakalanga8958
    @mungholomakalanga8958 Месяц назад +15

    Nakushauri mwanangu Makonda achana na ubunge wa Arusha
    Ubunge kwako ni kitu kidogo sana.
    Unafaa UONGOZI mkubwa.
    Mawazo yangu lkn yafanyie kazi

    • @geraldkabeta1725
      @geraldkabeta1725 Месяц назад +1

      Watu wanataka uwaziri mzee, hakuna kitu kidogo hapo 😅

    • @richardkatuli2269
      @richardkatuli2269 Месяц назад +2

      Tena makonda at urais unamfaa

    • @shadrackkassale2968
      @shadrackkassale2968 Месяц назад

      Watu wanalenga uwaziri ndugu mana huwezi kuwa waziri bila kupitia ubunge

    • @mashramadhani1989
      @mashramadhani1989 15 дней назад

      Ubunge njia ya uwaziri na uwaziri njia ya urais hivyo makonda anatakiwa kuwa mbunge

  • @esthersissamo1120
    @esthersissamo1120 Месяц назад +2

    Mungu tulinde watanzania na nchi yetu,hongera mkuu wetu wa mkoa Makonda Mungu akulinde daima uwe na afya njema siku zote

  • @SaadaMsombe
    @SaadaMsombe Месяц назад +4

    Mh. Makonda endelea na kuchapa kazi baba Mungu atakulipa.Endelea na Ukuu wa Mkoa.Allah atakulipa

  • @SilvanusMbata-zu6cg
    @SilvanusMbata-zu6cg Месяц назад +8

    Mungu mbariki Makonda huyu umpe maisha utakayo wewe sisi wananchi tunaimani sana nayeye

  • @EmanuelyNai
    @EmanuelyNai Месяц назад +9

    Makonda ni ras wetu hatakama iweje👍

  • @kakabibobibo7799
    @kakabibobibo7799 Месяц назад +8

    Makonda kiongozi bora sana tena sana

  • @boniphacenashon7083
    @boniphacenashon7083 Месяц назад +10

    Yaani Makonda anafaa kugombea uku wa nchi nzima ya tanzania

  • @stellamecki6500
    @stellamecki6500 20 дней назад +1

    mungu akulinde makonda,akuweke mbali na watu wabaya wew ni mpenda hakii❤

  • @JastiniElishawaokoke
    @JastiniElishawaokoke 25 дней назад +1

    Makonda ubarikiwe sana❤❤

  • @johnmtumishi373
    @johnmtumishi373 Месяц назад +4

    Good speech congratulations to you my God bless you

  • @deborahmsuyah5345
    @deborahmsuyah5345 Месяц назад +8

    Mkuu Mungu akulinde sana wewe ni mkuu

  • @Carolina-sm5zt
    @Carolina-sm5zt Месяц назад +6

    Mungu akulinde Kaka mana huna baya jina lako limeimbwa sana Makonda

  • @Piscesblair
    @Piscesblair Месяц назад +2

    We need several leaders like Makonda in this country. Big up Christian❤

  • @JAIROSMLIMILA-cl1wp
    @JAIROSMLIMILA-cl1wp Месяц назад +2

    Makonda chukua ubunge kaka tunatamani tukuone mjengoni Mungu akusimamie na akuongoze.

  • @gabriellyadam9415
    @gabriellyadam9415 Месяц назад +4

    Makonda baba tuwekee lami kutoka Fanretreat mpaka kiserian madukani na usogeze haisi zifike mpaka Muungano kuna wananchi tunateseka kule baba.asante mkuu na fom chukua mitano unayo

  • @MaulidNdunda-cl3gz
    @MaulidNdunda-cl3gz Месяц назад +10

    Makonda Yuko vizur sana na mtendaji anayejiamin anachokifanya Yuko vizur sana makonda

  • @KanyikaMasika
    @KanyikaMasika Месяц назад +1

    Gambo kazini kwake kuna kazi😊

  • @198140206
    @198140206 Месяц назад +2

    gombea ubunge mama akupe uwaziri wa tamisemi au ulinzi mpaka maji waite mmaaaa😂😂😂😂

  • @VictorKivuyo
    @VictorKivuyo Месяц назад +1

    NDARIPHOI AMELIA 😮😮,DUU, MR BOB SOSY A K A KATIA WA ARUSHA MURIET JIRANI NA MH GAMBO

  • @jerome3143
    @jerome3143 Месяц назад +3

    Labda chadema wapo hapi

  • @mwafrika78
    @mwafrika78 Месяц назад +3

    Hili neno sauti ya Mungu ni sauti ya wengi mnalitoa kwenye maandiko gani?(maana hata Yesu alisurubiwa kwa sauti ya wengi)

  • @marianmartin7483
    @marianmartin7483 Месяц назад +8

    Akili nyingi sana Makonda. Ww ni kiongozi bora sana.

    • @mathiasduduru628
      @mathiasduduru628 Месяц назад +1

      Sema Arusha hawaaminiki namuomba Makonda atulie kwenye cheo chake hicho hicho.

  • @hamadsheni8997
    @hamadsheni8997 Месяц назад +6

    Wanaosema mamkonda agombee ubunge. Akipata ubunge.hatakuwa na mamlaka ya kutoa amri ya wizi kukamatwa,kucmamisha kazi.muacheni hpohpo.ndo atawaweza watumishi.akiwa mbunge hanauwezo wa kupambna na mkurungenzi.

  • @abdallahally842
    @abdallahally842 Месяц назад +2

    Hapo ni siasa tu na tatizo ni ubunge

  • @rogersiddy
    @rogersiddy Месяц назад +5

    Alieskia neno pamoja na wewe😂😂😂😂🙌

  • @christabelaally1901
    @christabelaally1901 26 дней назад +1

    Wewe ni Traore ajae Tanzania

  • @hemedjackson2261
    @hemedjackson2261 Месяц назад +4

    Team zimeanz kuundwa za kuwagawa watu mbunge huwez kumdhihaki hv mbele za watu hv

  • @DulaRashid-r5z
    @DulaRashid-r5z Месяц назад +2

    Sahau kueka alama kwa vitendo vyako

  • @eliyalaiza6768
    @eliyalaiza6768 Месяц назад +3

    Ubunge kwa makonda ni cheo ndogo sana mheshimiwa hiyo nafac ya ubunge haikustahili broo bor ubaki kwenye nafac ya uteuzi hata kua waziri inakustahili ila so ubunge

    • @chandesaidi5936
      @chandesaidi5936 Месяц назад +1

      Hbr ndg.
      Uwaziri bila Ubunge uwezi kwaiyo tumuombee awe na namawazo ayo. Hta mm nataka nimuone makonda Yuko juu sn kwny nchi hii.

  • @BarakasMollel-y9x
    @BarakasMollel-y9x Месяц назад +3

    C uwe tu raisi bb❤❤

  • @AmoniMiyami
    @AmoniMiyami Месяц назад +1

    Arusha mmevunja record jitu zima linamwaga michozi huo ni unafiq wa kupitiliza mtajutia siku si nyingi.

  • @JOSEPHMwakibinga
    @JOSEPHMwakibinga Месяц назад +1

    Hivi Rais huyo Gambo amekupa Nini mama yetu ebu wananchi wamtoe huyo gambo

  • @margarethpolepole7438
    @margarethpolepole7438 Месяц назад +2

    Mungu ampe nguvu Makonda Mama Samia nakuomba Mhe Makonda agombee Ubunge Arusha

  • @yordanyona1234
    @yordanyona1234 Месяц назад +6

    Makonda ni kiongozi makini sana

  • @japhetdaudmaneno8440
    @japhetdaudmaneno8440 Месяц назад +3

    Samia amekiona kilio chenu madiwani, MAKONDA MAKONDA 🔥🏹 mbunge huyoooo Arusha

  • @DulaRashid-r5z
    @DulaRashid-r5z Месяц назад +2

    Wenyewe kwa wenyewe wanakulana gambo huyo yaone Sasa ulikua unawasumbua sana chadema we

  • @aloycetlehhematlehhema3466
    @aloycetlehhematlehhema3466 Месяц назад +1

    Kila kitu kinamwanzo na mwaisho,hata makonda anamwishowake tu,Gambo alimtesa sana Lema asiye na hatia sahiv na yeye anakimbia kumbe,safi kabisa,kama makonda atatend haki basi atadumu lkn akianza kunyanyas wapinzani hana muda hapo Arusha.

  • @MESHACKURASSA-y3t
    @MESHACKURASSA-y3t Месяц назад +3

    Njia upo Gizani,haki nakuakikishia kumwita kiongoz mwendawazimu,tatari umeshaanguka kipindi kijacho we sio diwani,hiyo sio nidham ya kiongoz

  • @EmmanuelMamchoni
    @EmmanuelMamchoni 22 дня назад +1

    Mungu yupi watu wa ccm wanayemjua,,?

  • @SimbaLion-qt9li
    @SimbaLion-qt9li Месяц назад +6

    Mzee wa watu yani unalia hadharani kama demu duuu jamani tanzania yetu baadhi ya viongozi mtihani.

  • @dorcasdavid2247
    @dorcasdavid2247 Месяц назад +2

    Mheshimiwa Makonda ww ni Mungu Tuu Amekuweka hp,Unaongea Ukweli kbs Mungu Akulinde Mkuu 🙏🙏

  • @rambostalon2888
    @rambostalon2888 Месяц назад +3

    Movement forchange🔥🔥✌️

  • @KhalefMohammed-j6b
    @KhalefMohammed-j6b Месяц назад +3

    Mtatoanaroho wenyewe kwa wenyewe ukisikia kabari za chini yamaji ndio hizi unapigwa kabari unajsmba juu yanakuja mapovu.YES.

  • @IsayaSosolo-nx8zk
    @IsayaSosolo-nx8zk Месяц назад +4

    Tunaelekeq kwenye uchwguzi, Ndiyo tunawakumbuka wanainchi usanii huu sijuwi utatufikisha wwpi?

  • @feliciarfrancis2388
    @feliciarfrancis2388 Месяц назад +5

    Huyu ndiye waziri mkuu wa Tanzania au raisi wa tanzania au makamu wa raisi wa tanzania (Horn . P. Makonda piga wezi)

    • @MashakaMagesa
      @MashakaMagesa Месяц назад

      @@feliciarfrancis2388 2030 nafasi ni yake

  • @GodfredAlfredNgarama
    @GodfredAlfredNgarama Месяц назад +2

    Hao ni machawa

  • @alunarashidi-w2h
    @alunarashidi-w2h Месяц назад +2

    🎉🎉🎉🎉🎉 wacha nikupe mauwa yako

  • @apostlejoshuakuhanda5524
    @apostlejoshuakuhanda5524 Месяц назад +1

    Makonda, we need your presence in Morogoro. Here we have leaders who do not do well.
    We have roads that have stayed a long long time without completing...

  • @dignakanje4508
    @dignakanje4508 Месяц назад +3

    Makonda juuu,naokuombea uje kuwa kiongozi mkubwa sana hpa tanzania

  • @zabronmahili4299
    @zabronmahili4299 Месяц назад +3

    makonda tunamtaka huku nyumbani mwanza jimbo la nyamagana huko hamna utajichanganya hao watu siwaelewagi kivile wako kigeugeu watakukoli mwisho wa siku wanakuacha kwenye mataa.

  • @SilasBilizi
    @SilasBilizi Месяц назад +3

    Njoo itilima tunakupenda sana kiongozi wetu kipenzi

  • @MangaikwelaMatengo
    @MangaikwelaMatengo 21 день назад +1

    Makonda hao unaongea ni watu wa Genji. Usijaribu kigombania Ubunge wa fitna sana hapa arusha..Ingia bunged uone balaa Lao mamluki hapo

  • @leganmichael6148
    @leganmichael6148 Месяц назад +2

    Achukue fomu awe mbunge, kumbe mbunge mkubwa kuliko mkuu wa Mkoa?? Mm nadhan aendelee kuwasaidia katika nafasi ya RC maana analeta faina kwa majimbo zaidi ya 10

  • @mungholomakalanga8958
    @mungholomakalanga8958 14 дней назад +1

    Shida wajumbe 😂

  • @MalkiadiNaano
    @MalkiadiNaano Месяц назад +3

    Kwenye hili hatuwaungi mkono madiwani wa Arusha,swale la kumsimanga mbunge hadharani ni la kujikomba kwa mkuu wa mkoa ili awapende na amchukie mbunge na kwa hili ham rudi ila mbunge tutamrudisha ndipo mtatujua wananchi tunanguvu ninyi hamna vikao ndani ya chama cha ccm mbunge

  • @OscarKasalile
    @OscarKasalile Месяц назад +5

    Siku moja mheshimiwa Makonda nataka nikuone ukiwa Rais wa Jamhuri ya muungano wa Tanzania.

  • @SaidiMwinshehe
    @SaidiMwinshehe Месяц назад +6

    Mzee anaelia mbn kama kalewa 😂

  • @richardmagaka9525
    @richardmagaka9525 Месяц назад +8

    Vita ya ndani kwa ndani😂😂

    • @Yangaone-h8j
      @Yangaone-h8j Месяц назад +1

      halafu wote ccm watupu hapo shamba la mzee heri na mbuzi wamzee heri kudadadeki

  • @sikapendinakapenda4170
    @sikapendinakapenda4170 Месяц назад +1

    Madiwani mnamdanganya huyo Makonda, ARUSHA hapiti huyo yatamkuta ya Kigamboni, na ninyi madiwani mliopita kwa upepo wa Magufuli wengi 85% hamtarudi hivyo msimdanganye Makonda akaingia aibu. Makonda hapo unajiingiza Chaka achana na GAMBO kama unataka kuinjoi Ars. Huu ni ukweli nakupa najua hii utaisoma.

  • @atiliokalinga123
    @atiliokalinga123 Месяц назад +1

    Makonda toka ccm jiunge na chadema mwanangu huko hutaweza

  • @josephmkami
    @josephmkami Месяц назад +3

    Mh. Makonda nakushauri usije ukaingia mkenge kugombea ubunge. Baki kuwa na nafasi ya uteuzi ina heshima.
    Nafasi ya mkuu wa mkoa unamtawala hadi mbunge wa majimbo ya mkoa wapo chini yako.
    USIGOMBEE UBUNGE

  • @silassaitoti7689
    @silassaitoti7689 Месяц назад +3

    MKUU NAKUPONGEZA SANA MKUU ,UMEONGEA POINT

  • @AmoniMiyami
    @AmoniMiyami Месяц назад +1

    Ama kwa hakika watu huko ni wanafiq laytil khiyas.

  • @SilvanusMbata-zu6cg
    @SilvanusMbata-zu6cg Месяц назад +1

    Tumpate makonda mbeya japo homela naye anafaa sana jamani

  • @AishaRamadhan-j6m
    @AishaRamadhan-j6m 24 дня назад +1

    Anatufaa kuwa kiongoz wa wote ususan rais

  • @raulnassor
    @raulnassor Месяц назад +1

    Chukuwa fomu makonda ww mchapa kazi sana

  • @richardmwambene3366
    @richardmwambene3366 Месяц назад +1

    Makondaa hongera sana

  • @faridamushi1703
    @faridamushi1703 Месяц назад +4

    USHAURI WANGU MAKONDA ASIGOMBEE UBUNGE ABAKI ALIPO ILI AONDOE HUO UOZO AKIWA MBUNGE HATAWEZA KUFANYA HAYO ANAYOFANYA. TUSISHABIKIE UBUNGE KESHO MTAMSIMANGA MTAMUONA KAMA ALIVYO MBUNGE ALIYEKO MRISHO GAMBO.

  • @aloycetlehhematlehhema3466
    @aloycetlehhematlehhema3466 Месяц назад +1

    Msifieni tu muda utafika mtamkan wenyew huyo makonda wenu.

  • @anithawidambe7543
    @anithawidambe7543 Месяц назад +6

    BABA MAKONDA USHAURI USIGOMBEE UƁUNGE SAFISHA KWANZA MIKOA MBALIMBALI

  • @olivernyange2349
    @olivernyange2349 Месяц назад +2

    Gambo Arusha,anasehemu zake mi hy sijui kama bado ni mbunge

  • @RITHAMROSSO-t4w
    @RITHAMROSSO-t4w Месяц назад +1

    mheshimiwa makonda hongera sana jamani tuangalie kwa jicho la pili barabara ya olorieni mwanama tunateseka mno mno usafiri tunateseka tuko chini ya miguu yako

  • @zefamange7281
    @zefamange7281 Месяц назад +2

    MAKONDA CHUKUA INCHI HII UWE RAISI. TANZANIA INAZID KUPOTEAA

  • @SelemaniKizenga
    @SelemaniKizenga 17 дней назад

    Thanks😅

  • @wilisonmikate1652
    @wilisonmikate1652 Месяц назад +4

    Sio kwamba hao madiwani ni mchongo wakuandaa

  • @mashakaamosgabinza3893
    @mashakaamosgabinza3893 Месяц назад +2

    Movement for change kweli

  • @PatrickPaul-p8l
    @PatrickPaul-p8l Месяц назад +1

    Makonda JPM

  • @bonifacekalima5273
    @bonifacekalima5273 Месяц назад +2

    Ndiio wabunge wakupita bila kupingwa,na kwa kuula feki madhala yaake ni hayo alipita kwa kuula ambazo hazikuwa zaake hayo ni majibu yake.

  • @brysonmandari5694
    @brysonmandari5694 Месяц назад +4

    Mfuniko na pipa wote wapigaji

  • @HawaMohamed-g7c
    @HawaMohamed-g7c Месяц назад +3

    makonda abaki mkuu wa mkoa arusha itakua juu lakini mko changua awe mbuge mtamkosa makodaa

  • @damsonwilson5202
    @damsonwilson5202 Месяц назад +5

    Mh Makonda Analichukuwa hili jimbo

  • @MashakaMagesa
    @MashakaMagesa Месяц назад +5

    Mh Makonda ni Kiongozi anaefaa kuwa Rais wa Tanzania 2030

    • @martinakyoo148
      @martinakyoo148 Месяц назад +3

      Your in my ❤ God answer our Prayer,ipe CCM macho waone kilichobora.
      Endapo Arusha watamkubali awe Mbunge wao,ombi langu Kwa mama ampe uwaziri wa Utalii au miundombinu na ujenzi.

  • @nunumrisho6548
    @nunumrisho6548 20 дней назад +1

    Mtajita huyo huyobsi mwenzenu mtajikutabutumwani .

  • @eliasnicolaurobath6864
    @eliasnicolaurobath6864 Месяц назад +1

    Mbunge anaishi kwa kushindana na siyo kufanya kazi pia zarao za nini kazini tumekutuma usaidie wanainchi sasa kazi yako kushindana na makonda hivi mjomba umetaka kuwa mbunge iri kuja kushindana na makonda na siyo kufanya kazi na wanainchi hapo ulipo unasema makonda mbaya kumbe wewe upo na maisha ya mashindano na siyo kufanya kazi

    • @meryamabdullah2081
      @meryamabdullah2081 Месяц назад

      Yn kumbe huyu Gambo alikua amefucha makucha yke ss ndo tunaiona tabia yke halisi hafai kuongoza kabsa anavinyongo htr

  • @forminaformina7694
    @forminaformina7694 Месяц назад +1

    Nakushauri makonda usigombee ubunge arusha baki na ukuu wako wa mkoa utapata cheo kingine zaidi ya ubunge endelea na ukuu wako wa mkoa mtaka.vyote hukosa vyote baki hapo ulipo

  • @Magreth-f2j
    @Magreth-f2j 11 дней назад

    Nakuomba mwanangu achana na ubunge Arusha we ni mkuu wa kuongoza sehemu kubwa cio jimbo.

  • @magigesabai8674
    @magigesabai8674 Месяц назад +3

    Mnachofanya kukosoana hadharani ni utoto na mnaidharilisha Serikali
    kila mtu anatafuta sifa kwa mwenzake acheni hayo mambo huo ni utoto
    atutaki kusikia hayo mambo maana ni aibu

  • @brysonmandari5694
    @brysonmandari5694 Месяц назад +4

    Mbunge sio meya wala mkurugenzi mseme anakwamisha maendeleo

  • @bobaiddi9599
    @bobaiddi9599 Месяц назад +3

    Kwani mbunge ndio amekula hizo pesa😳

  • @AbedKirway-tr5wx
    @AbedKirway-tr5wx Месяц назад +3

    makonda kwa ushauri wangu niamini mm mh nakuomba usiendeleze ligi na mh mbunge Gambo sio kama unavyozan kaka baki kwako haki ya Mungu utanikumbuka hio sio saw ccm kwa ccm mnatafuta ubaya kwa nguvu wakati gambo na ww ni kitu kimoja kumbuka ww na mh nape mmoja alibaki madarakan namwingine alitoka madarakan fikiria kaka bado tunakupenda mnachokifanya Mungu yupo upande wa haki wenda nakosea kukushauri nisamehee mkuu wangu wamkoa ila fikiria vema embu mm

    • @SaidMatulu-m8g
      @SaidMatulu-m8g Месяц назад +1

      Abed sawa umeongea lakin mm binafsi cjakwelewa ata kidogo unamanisha nn, hapa kitu cha msingi tunachokiangalia ni UTAWALA BORA wenye kuleta Refraction kwa Wannanchi na si vingnevyo. Acha mh Mkuu wa Mkoa apige kazi pengnge ww kama humwelewi unae mwelewa ni Mbunge bac komaa na Mbunge wako.

    • @geofreymilinga2965
      @geofreymilinga2965 Месяц назад

      Uyo atakuja kupotea kwenye siasa si Muda mm nipo pale

  • @geofreymilinga2965
    @geofreymilinga2965 Месяц назад +2

    Makonda usijidanganye kamwe , Nenda kagombee kwenu au pale pale Kigamboni hapo utoweza kupita

  • @hubertbango1428
    @hubertbango1428 Месяц назад +5

    Madiwani wanafki watupu.

  • @rogersiddy
    @rogersiddy Месяц назад +2

    Haya sasa LEMA nafasi nyeupeeee njia nyeupeeee ileeee GAMBO ameshakataliwa na madiwani wake tyl😂😂😂😂😂🙌

    • @shebymwingirasheby3328
      @shebymwingirasheby3328 Месяц назад +1

      Akigombea Makonda, Lema hapati nafasi Arusha

    • @rogersiddy
      @rogersiddy Месяц назад +1

      @shebymwingirasheby3328 Kwasababu ameshawamezesha ujinga wananchi hamna anachokifanya Makonda tutoke huo unafiki kumsema mtu mwenye makosa hadharani sio kutatua tatizo kama hujui anajisafishia njia mwenyewe aonekane mwema sanaa kwa kuwaponda watu wengine Hali ya kuwa yeye mwenyewe ana maovu yake ya wazi wazi tu watu wanaogopa kumsema

    • @stanleybupambambogo3334
      @stanleybupambambogo3334 Месяц назад

      ​@@shebymwingirasheby3328Kumpa Lema nafasi ya ubunge ni = kuitumbukiza shilingi kwenye tundu la kichuguu!!!!

    • @stanleybupambambogo3334
      @stanleybupambambogo3334 Месяц назад

      ​@@shebymwingirasheby3328Kumpa Lema nafasi ya ubunge ni = kuitumbukiza shilingi kwenye tundu la kichuguu!!!!

  • @venancemwanya4212
    @venancemwanya4212 Месяц назад +3

    Huyo akagombee kwao ,hapo Arusha yatamkuta ya kigamboni!

  • @aloycetlehhematlehhema3466
    @aloycetlehhematlehhema3466 Месяц назад +1

    Samia pekee ndo kiongozi,nyie ni wezi tu,na gambo wote

  • @ezesaxo8764
    @ezesaxo8764 Месяц назад +2

    Gambo siyo kiongozi ni kanjanja tu alipita na upepo wa magufuli

  • @tanzaniatouristsattraction1622
    @tanzaniatouristsattraction1622 Месяц назад +1

    Mijitu ya arusha hainaga akili